0


BABA wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu Bongo, Steven Kanumba, Charles Kanumba ametoa ofa kwa wanawake wanaohitaji kuzaa watoto kama marehemu mwanaye wamuone ili awape uzao wake.
Akipiga stori na paparazi wetu, baba Kanumba alisema amefikia hatua hiyo kutokana na usumbufu anaoupata kwani tangu Kanumba alipofariki dunia wamejitokeza mabinti watano wakidai kuwa ni watoto wake wakati si kweli bali wanahitaji uzao wake.
“Nimechoka kila kona wanatoka vijana na kusema mimi ni baba yao tangu Kanumba alivyofariki dunia. Kama kuna mwanamke anayehitaji uzao wangu, namkaribisha aje nimpe na watoto atakaowazaa watakuwa maarufu sana,” alijigamba baba Kanumba.

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X