Katika
kuhakikisha kwamba ubora wa filamu Nchini Tanzania unazidi kukua kampuni
ya RJ Company imeshusha vifaa vingine vya kisasa ili
kuzidi kuongeza ubora wa kazi katika kampuni ya RJ
Company kama kawaida slogan yake inavyosema BEST QUALITY
EVER kwa hiyo wadau wa tasnia hii mtegemee mazuri toka katika
kampuni yako bora ya RJ Company..
Hapa wakianza
kuifunga Camera mpya ya kisasa..
wakiwa makini katika swala zima la
ufunguji wa Camera.
Razack Ford akiwa makini katika kuifunga Camera hiyo...
Boom Mic ya
kisasa kama mnavyoona wadau mambo yatakuwa sio mchezo..
Hapa mambo
yakiwa yamekamilika wadau
Camera
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment