0




Wakati Bunge la Tanzania likiendelea kufukuta kwa  vurugu na kauli za matusi na dharau, Wabunge hawa  Zitto Kabwe na Halima Mdee wamefunguka juu ya mambo yanayoendelea bungen kupitia mitandao ya kijamii  na  kudai  kuwa  na  aibu  isiyoelezeka.

Wanadai kuwa Bunge  limekosa  mwelekeo  na  kwamba  kwa  sasa   hawaoni  haja  ya  kuendelea  kuitwa  wabunge

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X