0
Video ya Nay ft Diamond mziki gani ilianzia New  Africa na kumalizikia sinza.Poduction yote imesimamiwa na Adam Juma chini ya  NEXT LEVEL.   
Zifuatazo ni picha mbalimbali za location za video shooting ya  Muziki gani.....


 LOCATION ILIANZIA HAPA

 NAY WAMITEGO AKIJIANDAA
 Lights on  ....camera on set....
Mara bangi mara matusi sa ndo miziki gani?
kama kawaida usafi uliendelea
 DJ Ommy Crayz akiwa na msanii Oboy toka South Africa nao walikuwepo.


 Diamond kama kawa na warembo
 Kutoka kushoto ni Oboy Mnyamaa ,Esma Khan,Faridah,Mariam na diamond msafiiiiiiiiii




Wamitego na warembo wa ukweli
Warembo kibao na waukweri walijitokeza katika kupamba video

Mambo yalizidi  kunoga
MZIGONI KAMA KAWA
location ya Casino




Baada ya kumaliza shooting ya pale casino mzigo mzima uliendelea na sasa na ndani ya sinza kumalizia shooting kwenye Graphic iliyochorwa na Mkong`oto Jazz Band.....

 Wasafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Maandalizi yalianzia hapa hii ni baada ya kuwasili Sinza

MKONG'OTO JAZZ BAND....!!





Jamaa huyu ndo aliyechora Graphic zote kutoka mkong`oto Jazz Band






on set ...location 2 Sinza
 DJ OMMY CRAYZZ..............




Kwa michezo ya kuringa ringa ndio wanadata


 hii ni hip hop haichokwi








Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X