
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta (kushoto) akiwa na Makamu wa Rais William Ruto wakati wa kutangaza majina ya Mawziri wapya.
Orodha ya leo imefanya idadi ya Mawaziri hao walioteuliwa kufikia Mawaziri 16 huku wananchi wakiendelea kusubiri nafasi mbili kwani awali Rais Kenyatta aliutangazi umma kuwa baraza lake la mawaziri litakuwa na watu 18 tu:CHANZO MWANANCHI.
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment