0

Wakati akichangia bajeti ya PM, Mh Mbilinyi ametumia lugha kali sana dhini ya serikali na Mwigulu Nchemba akazua ubishi mkubwa kati yake na Speaker..

Ameanza kwa kusema kuwa "Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake mwenyewe" na hivyo hivyo serikali pumbavu hubomoa nchi.

Akiwa  na  jaziba  nyingi, Joseph Mbilinyi 'sugu' amemchanachana Mwigulu kuwa ni mpumbavu na kudai  kuwa anafanya dili alafu anatumia m-pesa...

Baada  ya  kumvaa  Mwigulu, Sugu  alimgeukia waziri wa elimu Mulugo na  kudai  kuwa ana elimu ya kuungaunga na ni chenga tupu...


Sugu  anadai  kushangazwa  na  tabia  ya  usalama  wa  taifa  kuifuatilia Chadema na kung'oa watu kucha na meno. 

Pamoja na kukalishwa mara mbili na spika ili atumie lugha ya staha bado aliendelea

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X