Wakati akichangia bajeti ya PM, Mh
Mbilinyi ametumia lugha kali sana
dhini ya serikali na Mwigulu Nchemba akazua ubishi mkubwa kati yake na
Speaker..
Ameanza kwa kusema kuwa "Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake mwenyewe" na hivyo hivyo serikali pumbavu hubomoa nchi.
Ameanza kwa kusema kuwa "Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake mwenyewe" na hivyo hivyo serikali pumbavu hubomoa nchi.
Akiwa na jaziba nyingi, Joseph
Mbilinyi 'sugu' amemchanachana Mwigulu kuwa
ni mpumbavu na kudai kuwa anafanya dili alafu anatumia m-pesa...
Baada ya kumvaa Mwigulu, Sugu
alimgeukia waziri wa
elimu Mulugo na kudai kuwa ana elimu ya kuungaunga na ni chenga
tupu...
Sugu anadai kushangazwa na tabia
ya usalama wa taifa kuifuatilia Chadema na kung'oa watu kucha na
meno.
Pamoja na
kukalishwa mara mbili na spika ili atumie lugha ya staha bado aliendelea
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment