0


Picha si ya Tukio Hilo.

Askari mmoja alievalia nguo za kiraia amewekwa ndani kituo cha polisi airport kwa kutuhumiwa kumshilka makalio mfanyakazi wa ndege wa fast jet.

Tukio hilo limetokea juzi saa nne...
Wakati askari huyo aliekuwa akienda mkoani akiwa bwii alipofika kwenye sehemu ya usalama aanze kuvua viatu na mengineyo gafla akaona binti amevaa kimini na huku nyuma kijungu kikipumua kwa kweli alishindwa kuhimili ndipo akamfuata na kumshika makalio ....
Baada  ya  tukio hilo, Askari wenzake  walimchukua   kumtuliza "sero" huku binti akienda kufungua kesi....

Source:Jamii Forums Via Udaku

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X