Lema,Mbowe na nassari mahakamani
Mawakili wakiwa kwenye viti vyao
Hawa ndiyo waliokuwa wamefungua kesi
dhidi ya lema
Mahakamani,lissu,nassari,mwenyekiti
mbowe na kilewo wakiteta na mke wa lema
Lema akianza kutoa hotuba fupi baada
ya kutoka mahakamani.kulia ni joshua nassari
Vitalisi kimomogoro,wakili wa
lema.huyu ndiye amekuwa na kesi hii tangu kuanza
Tundu lisu,mtetezi wa lema.aliingia
baada ya kesi kufika mahakama ya rufaa.ameshangiliwa sana
Askari wakisindikiza msafara wa
wafuasi wa CHADEMA
hapa lema akiwa na kilewo wakati wa
maandamano ya kutoka mahakamani kuelekea makao makuu ya chadema
Hukumu
imeangalia haswa swala la Locus Stand ya kama waliofungua kesi walikuwa
na haki kisheria ya kufanya hivyo.
Imeangaliwa kwa
kina na kuonekana
kuwa waliofungua shitaka dhidi ya lema hawakuwa na locus stand ya
kufanya hivyo.
Kwa
hiyo mengine yote yamekuwa null and void.
Hukumu
haikuchukua hata nusu saa.Lema ni mbunge halali wa arusha
mjini
tangia leo
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment